Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, April 19, 2014

Diddy and 50 Cent

Rappa 50 Cent ameendeleza chokochokoko kwa Boss wa Bad Boys Entertainmen Diddy kwa kuiponda track yake mpya aliyowashirikisha Rick Ross na French Montana.
Rappa 50Cent aliyasema hayo alipokuwa akihojiwa na  92Q Jams ya MTV News kufuatia kujibu swali juu ya unaonaje ushindani uliopo kati yake na miamba ya hip hop kama Jay Z na DIddy.
50 amesema amoja kati ya mabo yaliyomchukiza zaidi kuhusu Diddy ni plae aliposema huwa aandiki mashairi,ikitokea kuandika huandika check tu.
Baada ya kusema hayo 50 amesema hadhani kama atakuwapo muda mrefu kwa game kwani anachokiangalia kwa sasa ni kutimiza malengo albamu yake ya Animal Ambition,kisha atageukia katika kuwainua new young artists.”
Ikumbukwe hii si mara ya kwanza kwa 50 kumzingua ama kuponda kazi za Diddy,mnamo mwaka 2012 akihojiwa na radio Power 92 ya Chicago,aliiponda albamu ya Diddy’s Dirty Money - Last Train to Paris na kuiita “garbage (kabichi).”

0 comments:

Post a Comment