Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, April 16, 2014

 The Jackson 5: Wanachama halisi wa Jackson 5: Kutoka kushoto juu kwenda kulia ni: Marlon, Jackie Kutoka mstari wa chini wa kushoto kwenda kulia: Tito, Michael, Jermaine
No "Thriller" ... no "Beat It" ... no King of Po,ndiyo maneno aliyoyasema kaka wa mfalme wa pop duniani,marehemu Michael Jackson,akimaanisha kusingekuwapo mfalme wa pop,"Thriller" wala "Beat kama siyo uwapo wa Jackson 5.
The Jackson 5 ni kundi la muziki wa roki la nchini Marekani lililoundwa na wanamuziki watano;akiwamo

  1. Jackie Jackson
  2. Tito Jackson
  3. Jermaine Jackson
  4. Marlon Jackson
  5. Michael Jackson

Jermaine Jackson aliyasema hayo wakati akijibu tuhuma zilizotolewa na mama wa watoto wawili wa Michael Jackso kwamba anataka uhalali wa malezi ya watoto hao kwa kile alichokiita uangalizi duni toka kwa familia hiyo ya Michaele Jackson.

0 comments:

Post a Comment