Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, May 7, 2014

Justin Bieber hangs in Venice Becah with Yovanna Ventura (Instagram)Wakati Selena Gomez amerudisha urafiki na rafiki yake wa zamani, Justin Bieber anatafuta wapya.

Muimbaji huyo wa "Confident" mwenye umri wa miaka 20,hivi karibuni ameonekana akiwa karibu na mrembo mspanish mwenye umri wa miaka 18,model Yovanna Ventura.Walienda pamoja Las Vegas na hata kuhudhuria Floyd Mayweather fight,Bieber na model huyo pia walienda California kula bata pmoja.
Wawili hao wanaonekana wakiwa kimahaba japo Bieber anadai Ventura ni rafiki tuYovanna yupo high school anagraduate mwezi June huko Miami Senior High School.
Yovanna Ventura and Justin Bieber hang in Vegas (Instagram) 

0 comments:

Post a Comment