Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, May 8, 2014

 John Legend
Baada ya muongo mmoja tangu atoke na kujulikana katika muziki,John Legend kwa mara ya kwanaza amekuwa na  ngoma ambayo imeshika namba moja katika Billboard Hot 100. 1 hit of his career with

Mwamba huyo wa muziki wa R&B kupitia wimbo wake wa “All of Me ” amefanikiwa kutinga namba moja na kuitoa ngoma ya Pharrell, “Happy” ambayo ilidumu namba moja kwa takribani wiki 10 katika Billboard Hot 100.Track “All of Me” inapatikana katika album Ya Love in the Future,ambayo aliiachia mwezi August.Ngoma kali za John Legend  zilizofanya poa zaidi zilikuwa “Ordinary People” ya mwaka 2005 na“Green Light” ya mwaka 2008 aliomshirikisha featuring André 3000 na zote ziliishia No. 24katika Billboard Hot 100.

0 comments:

Post a Comment