Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, August 4, 2015


Unaweza kusema bado kuna chembe chembe za mapenzi kati ya mastaa waimbaji waliowahi kuwa wapenzi miaka iliyopita,Chris Brown na Rihanna.
Wakati Chris Brown anahangaikia haki za malezi kwa mtoto wake wa kike,Royalty,alijikuta akiwa na siku nzuri,na hii ni baada ya kupokea ujumbe mzuri toka kwa mrembo ambaye alikuwa mpezi wake na hivi karibuni amekiri kuwa bado anampenda,Rihanna.Taarifa zinasema wiki iliyopita Rihanna alifika nyumbani kwa mama wa Chris Brown na kumpelekea zawadi za hearing za almasi kwaajili ya Chris Brown na binti yake,Royalty.
Je hizi ni dalili tosha kwa wawili hao kurudiana na kuwa wapenzi tena?

0 comments:

Post a Comment