Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, September 28, 2015


DMX ypo huru tena
The Dark Man X ametoka jela baada ya kukamtwa mwezi July kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kutotoa pesa za matumizi ya mtoto ambapo inasemekana alilimbikiza mpaka deni likafikia dola 20,000.
DMX alijitetea kwamba hakuwa anajua kama anadaiwa pesa hizo za matumizi.Mtandao wa kidaku wa story za mastaa huko marekani umeandika kwamba DMX ameachiwa kwa ahadi kwamba  ila alisema kama  atachakalika kuweza kulipa deni hilo.

Swali ambalo wengi wanajiuliza ni je atamfanya nini mtoto wake wa kiume aliyenadi zile Certificate zake.

0 comments:

Post a Comment