Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, September 23, 2015


 
Drake amefungua mgahawa huko kwao Toronto.Rappa huyo aliungana na mastaa kibao katika ufunguzi wa mgahawa huo.
Drake alifanuya pati ya ufunguzi wa mgahawa huo jana (September 21) katika mtaa wa King St. West. Drake alihudumia kama deejay katika shughuli hiyo iliyohudhuriwa na mastaa akiwamo mama yake,star wa tennis Serena Williams,Jada Pinkett-Smith na mwanaye Jaden Smith .
Mgahawa huo umepewa jina la Frings na ni biashara ya ushirikiano na mpishi maarufu na mmiliki wa migahawa mikubwa Canada,Susur Lee,
 Screen Shot 2015-09-22 at 3.06.20 PM

0 comments:

Post a Comment