Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, September 25, 2015



Drake ameamua kuvunja ukimya.Rappa huyo toka Canada ambaye hivi karibuni ametokea katika kasha la jarida la The FADER pia ameongelea kuhusu mixtape yake na rappa Future ambayo wameipa jina la What a Time to Be Alive.
Mwandishi wa jarida hilo alipata nafasi ya kupiga story na Drizzy akiwa hometown kwao huko Toronto, Drake alifunguka kuhusu ishu mbalimbali ikiwemo ya tuhuma za kusemekana anaandikiwa ngoma zake ( ghostwriting ) na akaongelea kuhusu beef yake na rappa Meek Mill.
Kuhusu kuandikiwa ngoma Drake amaesema:mara nyingine huwa nakuwa na watu wengine kupata ideas nyngine na vitu vipya,hivyo huwa nawatumia watu kupata vitu vpya na vizuri tofauti na ukiwa mwenyewemwenyewe utakuwa yuleyule siku zote.Si kweli kwamba naadikiwa ila huwa tunashirikiana katika kutafuta mawazo mazuri.
 Kuhusu beef yake Meek Mill amesema:ile ilikuwa sehemu katika muziki na halikuwa wazo baya kama wengi walivyochukulia.Ilikuwa sehemu pia ya kujipima japo sikupata upinzani mkubwa

0 comments:

Post a Comment