Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, September 10, 2015

 11084887_129431770738790_266955550_n.jpg
Msanii Jaguar wa Kenya amingia katika orodha ya mastaa kama Justin Beiber, Wiz Khalifa, Chris Brown kutembelea Cyboard akiwa mjini London.
Jaguar anatajwa kuwa mmoja kati ya wasanii matajiri wa nchini Kenya.Muimbaji huyo alihudhuria tamasha maalumu la kutangaza utamaduni wa Kenya Fest huko London akiwa anatembelea kifaa hico cha kisasa maalumu cha kutembelea kinachofahamika kama Cyboard. 
Kifaa hicho kimeonekana kutumiwa na mastaa kama The Biebs himself, Chris Brown , Nick Jonas, Zedd, Soulja Boy, Kendall Jenner, JR Smith, Nicki Minaj, Wiz Khalifa, Nina Agdal, David Ortiz, Karim Benzema nk.

0 comments:

Post a Comment