Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, September 7, 2015


Jay Z ni rappa mkubwa na tajiri anayetajwa kuwa na utajiri unaozidi dolla millioni 500. 
Wakati hapa Bongo watu kukaa VIP ama backstage wanaona ni ujuko,Siku ya jumamosi usiku Jay Z aliwashangaza walimwengu pale alipoamua kujichanganya na maelefu ya mashabiki wa kawaida waliokuwa wamefurika kumuangalia Beyoncé akitumbuiza katika tamasha linalofanyika kila mwaka la Made in America.
Jazy Z pamoja na kujichanganya na kuwa karibu na watu wengi inasemekana hawakumtambua haraka kwani wengi walikuwa wameelekeza macho jukwaani kumtazama Beyonce anavyoshambulia jukwaa.

0 comments:

Post a Comment