Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, September 7, 2015

Wizkid Davido
Jiandae kwa maajabu yanakuja. Ronaldo na Messi wapo njiani kuvaa jezi moja.
Akiwa na furaha ya kuchukua tuzo za 2015 MTV Africa Music Awards, muimbaji mahiri toka Nigeria Davido ametangaza kitu kikubwa kwa wapenzi wa muziki.
Muimbaji huyo wa hits kama Gobe alishinda tuzo ya Best Male na kupongezwa na Wizkid aliyekuwa akiwania tuzo hiyo pia.
Wakali hao wawili wamekuwa wakiongelewa na mashabiki kama maadui ama washindani wakubwa lakini picha waliyopiga baada ya Davido kuchukua tuzo ilibadili fikra hizo.
Sehemu kubwa iliyobeba ujumbe mkubwa wapicha hiyo ilikuwa maneno aliyoyaandika Davido.: “DAVIDO X WIZKID DROPS NEXT MONTH!!

0 comments:

Post a Comment