Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, September 22, 2015

 
Ikiwa haijaisha hata wiki tangu rappa Rick Ross kutangazwa amemvisha pete ya uchumba na kusema yupo katika mpango wa kufunga ndoa,kuna habari mbaya kumhusu rappa huyo.
Rozay amefunguliwa mashataka na mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Jane Doe kwamba wakiwa katika shamra shamra za tzo za Grammy,rappa huyo eti alimlewesha kwa madawa ya kulevya na kisha ku mbaka katika gari yake.
Taarifa zaidi zinadai mwanamke huyo kabla ya kukutwa mkasa juo alikuwa hotelini hukoLos Angeles alipokutana na kufahamiana na rapp Ross na watu wake na baadaye wakatoka wote pamoja kuelekea katika gari akiongozana na Rick na mwingine aliyetaja kwa jina la Thaddeus "Black" James,DJ, na security guards watatu.Mwanamke huyo anadai akiwa garini alipewa glass ya kiywaji baada ya kugida ndipo alipojikuta amepoteza fahamu hivyo hakujua kilichoendelea lakini alipopata fahamu alijikuta hayupo sawa.

0 comments:

Post a Comment