Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, June 20, 2016

Iggy Azalea & Nick Young
Waswahili husema hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho,japo huwa haijulikani mwisho gani.
Hayo yamejidhihirisha baada ya staa wa kike wa muziki wa kufoka Iggy Azalea kutajwa kumwagana na mpenzi wake ambaye ni staa wa mpira wa kikapu wa ligi ya NBA, Nick Young ikiwa ni mwaka moja tangu waingie katika mahusiano.

Rapa mwenye asili ya Australian,Iggy Azalea ndiye aliyeweka wazi juu ya kuvunjika kwa mahusiani yao kupitia ukurasa wake wa Instagram akijielezea kwamba hawezi kuendelea kimapenzi na Nick Young sababu hamuanini tena.
Iggy aliandika:
"Unfortunately although I love Nick and have tried and tried to rebuild trust in him - It's become apparent in the last few weeks that I'm unable to. I genuinely wish Nick the best. It’s never easy to part ways with the person you planned your entire future with, but futures can be rewritten and as of today mine is a blank page.” .

0 comments:

Post a Comment