Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, November 26, 2013

 Kim Kardashian, Angie Martinez, and Kanye West
WIki iliyopita Kanye West alilalamikia Nike kutompatia heshima anayostahili kama balozi wao kupitia Air Yeez,mahusiano kati ya Kanye na Nike yalionekana kufikia mwisho pale Kanye alipowachana jukwaani katika moja ya matamasha yake ya hivi karibuni kwa kusema,mkurugenzi wa Nike bwana Mark Parker anamfanya mtoto.
Knye West aliongelea mahusiano yake na Nike na katika kituo cha Hot 97 na mtangazaji Angie Martinez,na kusema,katika kipindi cha miaka 5 nimedizaini aina 2 za sneaker za Air Yeez,tatizo kubwa ni malipo,hawanilipi kama wanavyowalipa donge nono wanamichezo wengine wanaowatangazia NIke.Ningeendelea kuvaa na kutiangaza Nike ila kwakuwa sasa nna binti na nna familia,wacha niangalie maslahi.
Kanye West amesema nageukia kufanya kazi na Adidas,bado haijawa rasmi ila ndiyo mpango uliopo na wote mnajionea jinsi ntavyoongeza mauzo ya Adidas kama,ntakuwaTupac wa Adidas na ntakuwa Hip Hop designer wa kwanza nifikie levo za mkwanja za akina“Jay Z na Diddy l.”

0 comments:

Post a Comment