Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, June 19, 2014

United States Soccer's Clint Dempsey To Release Rap Album
United States soccer star,Clint Dempsey amesema anampango wa kuachia albamu ya rap yenye nyimbo 13, The Redux, miezi kadhaa baadae.
Dempsey ambaye yupo katika kikosi cha timu ya USA inayoshiriki kombe la dunia na ameshafunga goli zidi ya Ghana siku ya jumatatu june 16  amsema track ya kwanza kuachiwa kutoka katika The Redux ni "It's Poppin."
Akiongelea historia yake ya kuanza kurap ni pale gari yake ya kwanza kuendea shule haikuwa na radio hivyo ilibidi awe anarap njia nzima mpaka akawa anamkera mdogo wake ambaye walikuwa wanaongozana. Dempsey anawashukuru sana Bun B, UGK, Pimp C,kwa kumsiikiliza na kumuweka sawa.

0 comments:

Post a Comment