Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, June 20, 2014

 Pharrell and Pitbull
Pharrell Williams na Pitbull wametajwa kuingizwa katika Hollywood history.
Ma superstars hao wametajwa siku ya alhamis na kamati maalumu ya the Walk of Fame kuwa miongoni mwa watu 30 watakaowekewa nyota mwaka 2015 huko Hollywood Walk of Fame kama ilivofanyika kwa nyota wengine waliofanya makubwa.


Pitbull amesheherekea habari hizo kwa kutweet“Excited about my new honor as a Walk of Famer for Class of 2015.”
Wengine ni Will Ferrell, Melissa McCarthy, Sofia Vergara, Amy Poehler, Kelly Ripa, Kool & The Gang, and producer Dr. Luke.
Uteuzi huo mpya umefanyika kwa kuzingatia ubora katika kiwanda cha  entertainment alisema said Maureen Schultz, mwenyekiti wa uteusi wa Walk of Fame selection committee.

0 comments:

Post a Comment