Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, January 2, 2016

0101-drake-instagram
Ule msemo wa wawili wakigombana shika jembe ukalime una ukweli ndani yake,hayo yamejidhihirisha pale  watu ambao wanachukuliwa kama mahasimu wakubwa kwa mwaka wa 2015 Birdman n Lil Wayne walipoonekana wakila bata pamoja katika pati ya mwaka mpya iliyoandaliwa na msanii wao ambaye ni rapa Drake'.
Pati hiyi iliyoandaliwa na Drake iliyopewa jina la Drake's New Year's Eve bash! ilifanyika huko Miami katika ukumbi wa E11even nightclub.
Lil Wayne amekuwa akimshutumu  Birdman kumdhulumu kiasi kikubwa cha pesa mna hata kufikia hatua ya kumfungulia mashtaka ya kutaka yeye na kundi lake la Young Money kujioa Cash Money.

0 comments:

Post a Comment