Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, January 21, 2016



Tokeo la picha la celine dion

Céline Dion hatotumbuiza Caesars Palace huko Las Vegas jumamosi hii ambapo itakuwa siku moja baada ya mazishi ya mumewe japo tamasha lake lilishatangazwa na hii ni kutokana na kupatwa na msiba mzito wa mumewe na kaka yake kwa wakati mmoja na hivyo m badala wake atatumbuiza Elton John.

Taarifa toka kwa wahusika zinasema Celine Dion atarudi jukwaani huko Vegas Feb. 23.

0 comments:

Post a Comment