Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, January 20, 2016

Kim Kardashian & Kanye West Third Baby Fight

Ikiwa zimepita takribani wiki 6 tangu mastaa Kim Kardashian na Kanye West kumkaribisha mtoto wao wa pili ambaye ni wa kiume waliyempatia jina la Saint,mambo si shwari katika familia hiyo.
Watu wa karibu na familia hiyo wamesema mastaa hao wamekuwa katika ubishani mzito juu ya namba ama idadi ya watoto.
“Kanye ana mpango wa kuongeza mtoto wa tatu wakati mkewe,“Kim ameshikilia msimamo kwamba imetosha na hii ni kutokana na situation aliyokutana nayo katika uzazi wake wa hivi karibuni.
Kim Kardashian 35 alishauriwa na madakatari kwamba apumzike kidogo kwani akibeba ujauzito mwingine hali haitokuwa shwari., 

0 comments:

Post a Comment