Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, January 22, 2016

0121-sub-mariah-engahement-ring-02
 Mariah Carey ana pete mpya mpya kubwa  na ya thamani kidoleni mwake.
Taarifa zaidi zinasema boyfriend wake tajiri James Packer alitupia swali na  Mariah akajibu YESSSSS!!!!
TUkio hilo lililtokea huko NYC ambapo tajiri Packer aliwaalika kwa siri marafiki wakaribu wa Mariah kwa private dinner katika hotel ya kifahari ya  Eleven Madison Parkambapo wakati wakiendelea kupata chakula hicho cha usiku ndipo tajiri huyo alipopiga goti moja chini na kukamilisha tukio la kumvalisha pete Mariah Carey.
Carey na Packer walianza mahusiano yao tangu mwezi june 2015 .

0 comments:

Post a Comment