Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, January 20, 2016

George Clooney and Lupita Nyong'o

Mshindi wa tuzo za Oscar,actor George Clooney ameukosoa mwenendo na muelekea mzima wa Tuzo za Oscars kwamba una mapungufu.
Moja kati ya matatizo aliyoyataja ni kuwa mwaka wa oili mfurulizo hajatajwa mtu yeyote mweusi kuwania tuzo hizo za Oscars .
Star Wars actress Lupita Nyong'o pia alisema kuwa ameonyesha kutoridhishwa na hali hiyo ya kutopewa nafasi waigizaji weusi katika vinyang'anyilo vya tuzo za Oscar.

Academy president Cheryl Boone Isaacs vowed to review its membership as stars pledged to boycott the ceremony.

'Calling for change'

Clooney, who has won two Academy Awards, said: "We need to get better at this. We used to be better at it."
Nyong'o, who won a best supporting actress Oscar for 12 Years a Slave in 2014, wrote on Instagram that she stands with those "calling for change" and that the awards should be a "diverse reflection of the best of what our art has to offer today".
Director Spike Lee, who was awarded an honorary Oscar in November, is among those boycotting the ceremony, saying on Instagram that he "cannot support" the "lily white" Oscars.
Jada Pinkett Smith has also refused to attend because of the number of white nominees, saying in a video message on Facebook that people of colour should disregard the awards.

0 comments:

Post a Comment