Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Sunday, July 24, 2016

Mji wa New York ulipambwa na mawimbi ya sauti toka kwa wanamuziki wa Africa siku ya July 23, 2016katika tamasha la One Africa Music Fest.
Ni usiku utakaokumbukwa kwani burdani za miziki ya Afrobeat na Afropop zilifunika katika ukumbi maarufu wa Barclays Center huko Brooklyn New York.
Tamasha hilo lilipambwa na mastaa wa muziki toka Africa kama Banky WWizkidTiwa Savage,Banky WFlavourStonebwoyWaleDavidoDiamondPlatnumzSeun KutiMachel MontanoJidennaDon Jazzy,TimayaPraiz, na Ayo Jay.
Lilikuwa ni tamasha la kipekee Lagos meets Accra, meets Tanzania meets New York ambapo  Bongo iiliwakilishwa vema na Diamond Platnumz,

0 comments:

Post a Comment