Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, July 26, 2016

Dr. Dre Accused Of Pulling Gun On Road Raged Motorcyclist

Dr. Dre amejikuta matatani baada ya kuzuka kwa kutoelewana na mwendesha pikipiki aliyemzuia njia alipokuwa akitoka nyumbani kwake huko Malibu.
Taarifa zaidi zinasema Dre akiwa kwenye gari yake alikuwa akitoka getini ndipo alipo alipotokea mwendesha pikipiki aliyegeuza na kumzuia njia,kitendo kilichopelekea Dre kutoa simu yake na kurekodi tukio,baada ya ya Dre kutoa simu kurekodi tukio mwendesha pikipiki huyo alipiga simu 911 kuwataarifu polisi kwamba kuna mtu mweusi kamtishia bastola (“Here we go again, another black guy with a gun,   ) na polisi kufika katika eneo latukio na kumtia nguvuni Dre.
Polisi walimsachi West Coast legend na The N.W.A rapper-producer Dre lakini hawakumkuta na silaha ila tunataarifiwa kesi im,epelekwa mbele.


0 comments:

Post a Comment