Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, May 1, 2013



KELLIS KUACHIA ALBUM SEPTEMBER

Kelis
Kelis amekuwa kimya sana,lakini sasa amekuja na kitu kipya The “Bossy”.Hii ni album ambayo anataraji kuiachia mwezi september na itakuwa ni album ya 6 kwa mwanamziki huyu ambaye ni mtalikiwa na mwamba wa hip hop Nas.

0 comments:

Post a Comment