Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, May 1, 2013

CHRIS BROWN KUACHIA YA ALBUM YAKE 'X'

 X

 

 July 16 inaonekana kuwa kama ni big day for albums. Pusha T’s My Name Is My Name, Chris Brown wamepanga kuachia album zao July 16.kwa Chris Brown hii itakuwa nia album yake ya 6.  Breezy ametumia Twitter kuwatangazia fans wake taarifa hizo na kama haitoshi akadrop  new song  inayoitwa“I Can’t Win,”humu ameongelea mahusiano yaliyofikia breaking point.Lakini Hili song halitapatikana katika abum ya X.

 


0 comments:

Post a Comment