Mwezi October,binti wa rappa Eminem,Hailie alitajwa malikia baada ya kufanikiwa kuingia kusoma elimu ya juu katika shule ya Chippewa Valley High School na mwezi June tarehe 11 amehitimu masomo yake kwa maksi za juu na kutunukiwatuzo ya Academic Excellence.Hailie baada ya kupokea tuzo hiyo aliwapongeza wazazi wake kwa msukumo waliompatia kwa kusema: "My
mother and father are because they have pushed me to be the person I am
and have given me all the support to achieve what I have.
Eminem alishawahimuimbia bintiye wimbo "Hailie mwaka 2002.
Saturday, June 28, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment