Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, July 4, 2014

 
Gazeti la Daily Mail limeandika,R&B diva  Mya ameongea kwa mara ya kwanza tangu minongo'no kuhusu yeye kuhusishwa na kusababisha matatizo katika ndoa ya mastaa Jay Z na mkewe Beyonce kwamba yeye ndiyo chanzo kwani amekuwa katika mahusiano na rappa Jay Z kwa miaka mingi.Kupitia akaunti yake ya Instagram  muimbaji Mya alikutana na maswali  ya wanaomfuata kama : 
"kimdafuture Hear you and Jay z had an 11 year affair.
@kissmya are you his side chick or nah?"
Ndipo Mya alipojibu "kissmya @kimdafuture Never did, never was, never will.Thirsty sources with no facts and that's the 'media' for you-especially today. I play second to no one, pay my own bills, have my own label, own management company, rely on God only and respect myself & marriage way too much for nonsense.
akimaanisha hajawahi,hana mpango na hatowahi kutoka na Jay Z ni vyombo vya habari vinazua tu.Si mke mwenza wa yeyote na anajilipia mwenyewe bili zake,ana rec label yake,ana management company yake zaidi ya hapo anamtegemea Mungu






0 comments:

Post a Comment