Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, July 3, 2014

Surgeryfeat
Mwanamitindo na mwanamuziki mmoja wa Kikorea,Hang Mioku (50) y ambaye alipenda sana kufanyiwa upasuaji wa kutengeneza sura hivi karibuni ameripotiwa kujiharibu vibaya sura yake baada ya kutumia kemikali kwa kujipimia mwenyewe.
Gazeti la International Business Times limeandika,Mwanamitindo na mwanamuziki huyo wa wa Kikorea baada ya kufanyiwa upasuaji mara nyingi,aliwaendea tena madaktari apasuliwe tena na kukataliwa na ndipo alipoamua kujitibu kwa kujidunga usoni na kemikali mbalimbali na mafuta ya kula 
Hang Mioku,amejiharibu sana uso wake baada ya kujidunga kemikali hizo na kuifany kuumuka kuvimba na kuwa mbaya.
Mioku mwenye umri wa miaka 50 alianza kufanyiwa upasuaji tangu akiwa na umri wa miaka 28 na kujiona mzuri kisha akahamia Japan.


0 comments:

Post a Comment