Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, November 13, 2013

 
Rappa toka pande za West Coast,Kendrick Lamar anaweza kusema mwaka 2013 ni mwaka wake,kwani ukiachana na kuleta mzozo mkubwa baada ya kujiita King wa New York,jarida la GQ limemtaja Kendrick Lamar kama "Rapper Of The Year".
Kendrick Lamar ametajwa "Rapper Of The Year" pamoja na kuwa katika fani hiyo kuna miamba kama Kanye,Jay Z, Drake, Eminem na kadhalika.

0 comments:

Post a Comment