Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, November 13, 2013

Mariah Carey "Hated" American Idol: "It Was Like Going to Work Every Day in Hell With Satan" 
Mariah Carey amese hakuwahi kufurahia maisha kama jaji ndani ya American Idol,Mariah Carey amefunguka hayo alipokuwa akihojiwa na mtangazaji wa Hot 97 Angie Martinez jumanne Nov. 12.
Mariah Carey ambaye alitumikia kipindi kimoja kama jaji katika mashindano hayo ya utafutaji wa wenye vipaji vya uimbaji linaloandaliwa na Fox musical,Mariah alikuwa jaji akishirikiana na Nicki Minaj,Randy Jackson, na Keith Urban .
Mariah Carey anasema yeye alikuwa wakwanza kuitwa kisha akafuata Randy Jackson,ikawa si tatizo kwake sababu kashafanya naye kazi,lakini baadae ikaja kuwa kama kufanya kazi na shetani baada ya kuongezwa watu wengine katika kazi hiyo ya ujaji,na ndipo anaposema alipoanza kuichukia kazi hiyo japo hakumtaja shetani huyo ni nani kati ya majaji wenzake japo tunajua fika walikwaruzana na Nicky Minaj.

0 comments:

Post a Comment