Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, November 25, 2013

 

Jarida la Forbes limewataja miamba ya hip hop duniani Diddy,Jay Z & Dr. Dre kuwa wamo katika list ya Top 25  ya wanamuziki wanaolipwa zaidi duniani katika kile kinachoitwa Forbes The worlds highest paid musicians.Diddy ameshika nafasi ya 12 kwa kuingiza dola millioni 50 million.Jay Z ameshika nafasi ya 19 kwa kuingiza dola millioni 42 million na Dr. ameshika nafasi ya 21 ameingiza dola millioni 40.Madonna ndiye mwanamuziki anayeongoza kwani amingiza zaidi ya dola millioni $12.Hii ni kutokana na mkwanja walioingiza wanamuziki katika kipindi cha mwaka mmoja,kuanzia June 1, 2012 mpaka June 1, 2013.

0 comments:

Post a Comment