Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, November 19, 2013

 
Ikiwa imepita miezi sasa tangu asabishe kifo cha kijana mdogo Trayvon Martin kilichopelekea wamerica wengi haswa mastaa kuandamana kufuatia hukumu aliyopewa muuaji huyo.
George Zimmerman amejikuta mikononi mwa polisi baada kili kinachodaiwa kumtishia girlfriend wake kwa bastola.
Tukio hilo limetokea huko Apopka,kaskazini mashariki mwa mji wa Orlando nyumbani kwa girlfriend wake,taarifa zaidi zinadai,Mr. Zimmerman,30 alichukua uamuzi wa kumtishia bastola baada ya mwanamke huyo anayefahamika kwa jina la Samantha Scheibe kumuamuru atoke nyumbani kwake.Polisi walifika eneo la tukio baada ya kupigiwa kwa namba 991 ambapo wanadai walisikia sehemu ya mabishano hayo.

0 comments:

Post a Comment