Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, November 19, 2013

Rita Ora
Mtandao wa TMZ unaripoti,sanii wa Roc Nation,Rita Ora (22) alikimbizwa hospital huko Miami siku ya jumatatu baada ya kupoteza fah.amu wakati akipiga picha yaani photo shoot kwaajili ya kampeni ya Madonna,Materila Girl.
Doctor wa Rita Ora,David Farcy,ameuambia mtandao wa TMZ kwamba chanzo cha muimbaji huyo kupoteza fahamu ni mwili wake ulipata joto sana lililosababishwa na upungufu wa maji mwilini yaani dehydration.Rita ora alitoka hospitali masaa machache baadae baada ya kupata nafuu. 


0 comments:

Post a Comment