Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, November 26, 2013

 
Kanye alikuwa katika katika mahojiano na  kituo cha 92.3 radio station na kusema alipokuwa Ufaransa alitaka kukutana na mkurugenzi wa Louis Vuitton,Yves Carcelle lakini alikataa.
Kanye point yake ni kumuonyesha kiongozi huyokwamba Yeezy's got power and influence na anataka kumpa somo.Kanye West alisema "Everybody in New York City right now, don't buy any Louis Vuitton until after January."
Kanye amekuwa akiwalalamikia sana miamba ya  fashion ambao bidhaa zao zinafanya vizuri kwa kusema,wana m bagua kufanya naye kazi kwa kuwa yeye ni raapa halafu ana asili ya kiafrica.


0 comments:

Post a Comment