50 Cent kipande cha video na kukirusha katika Instagram kipande kinachoelezea bifu kati ya rappa T.I. na Floyd Mayweather kufuatia bondia huyo kuonekana akilazimisha salamu na kupotezea kwa mke wa rappa T.I katika red carpet ya tuzo za BET june 29. 50 ameanza kwa kusema:unafanya nini wewe bondia bingwa? achana na haya mambao yaishe lasivyo itakugharimu kwasababu chokochoko unazozifanya kwa mke wa mtu zinaweza kukuponza ukapigwa risasi,acha,kufatafata mke wa mtu,mwenyewe ni mtata pia.
0 comments:
Post a Comment