Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, January 25, 2016



Nick Cannon yupo poa na kitendo cha aliyekuwa mkewe na mama wa watotot wake wawili,Mariah Carey kutaka kuolewa tena.
The 35-year-old comedian kupitia ukurasa wake wa Instagram siku ya jumamosi alituma salamu za pongezi kwa Mariah huku akimtania kidogo kuhusu kuvishwa pete na tajiri wa Australia James Packer,.
Cannon aliweka utani pale alipotuma picha yake akiwa kitandani hospitali na Kevin Hart by his side.Picha hiyo imetoka katika reality show, Real Husbands of Hollywood.

0 comments:

Post a Comment