Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, April 28, 2016


 Tokeo la picha la nicki minaj donald trump
Nicki Minaj mtundu aliwatunuku sehemu ya onyesho la ngoma yake matata ya “Anaconda” wanasiasa Donald Trump na Joe Biden,ambao hawakuwapo kwa onyesho hilo.
Kitumbuiza na wimbo wake Anaconda,Minaj aliwachenua mashabiki waliohudhuria akadhalika mastaa waliokuwapo kama Charlie Rose, astronaut Scott Kelly, three-time Nobel Peace Prize-nominated Congolese gynecologist Denis Mukwege na Ariana Grande.
Nicki alipigiwa yowe la shangwe zaidi pale alipouliza umati huo kwamba nani anapenda sana mitindo hii ya kudengua  kati ya hawa, Donald Trump ama Joe Biden?”


Joseph Robinette "Joe" Biden, Jr. (/ˈsf rɒbˈnɛt ˈbdən/; born November 20, 1942) is an American politician who is the 47th and current Vice President of the United States, jointly elected twice with President Barack Obama, and in office since 2009. A member of the Democratic Party, Biden represented Delaware as a United States Senator from 1973 until becoming Vice President in 2009.

 Donald John Trump (born June 14, 1946) is an American businessman, politician, television personality, author, and candidate for the Republican nomination for President of the United States in the 2016 election

0 comments:

Post a Comment