Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, December 23, 2015

Roc the boat ... Rihanna 'behind Jay Z feud'

Wafuatiliaji wa mambo ya muziki wamesema sababu kubwa za Rita Ora kufikia uamuzi huo ni superstar — RIHANNA ambapo imeonekana anapewa kipaumbele zaidi yake katika lebo hiyo ya Roc Nation.
Taarifa zaidi izimesema kilichochoea mafuta a moto huo kulipuka ni pale muamuzi wa shindano la usakaji vipaji vya uimbaji la X Factor kutoa siri kwamba Rihanna amepewa nafasi ya kwanza kuchagua nyimbo ambazo zitawekwa katika albamu yak ijayo kabla ya Rita Ora .
Rita amemfungulia mashtaka  Jay Z na record label yake ya Roc Nation ya kutaka atolewe na kusitisha mkataba.

0 comments:

Post a Comment