Wakati wasanii wa bongo wakiendelea kumangamanga na kutoa ahadi za kukidhi matakwa ya mashabiki wa muziki wao kutoa albamu,msanii wa muziki toka Nigeria ambaye ni hit maker wa ngoma kali kama ''Woju ',FULL NAME: Oluwatobiloba Daniel Anidugbe aka Kiss Daniel ametoa albamu yake ya kwanza na moja kwa moja imeonyesha njia kubwa ya mafanikio katika safari yake ya muziki kwa kushika namba No. 8 katika chati bora na kubwa kabisa duniani za Billboard World Album.
Ukiachilia mbali Kiss Daniel na albamu yake ya “New Era”,albamu ya msanii toka Nigeria iliyowahi kutinga katika chati za Billboard World Album ni ya 2face Idibia’s Ascension and Reminisce iliyoshika namba 12.
Wednesday, May 25, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment