Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, August 18, 2015

Chris Brown Rihanna Back Together

Chris Brown and Rihanna are back together.

Ripoti mpya zinasema Breezy alikuwa studio akirekodi na muimbaji mmoja mdogo ndipo alipoingia Rihanna.Shahidi aliyewaona na kuwapiga icha kisiri Chris Brown, 26 na Rihanna, 27, tarehe 14 August amesema wawili hao walikuwa wamepoazi na kuongea kama wapenzi.

Shahidi wa tukio hilo ni muimbaji chipukizi ,Assata alikuwa akirekodio wimbo studio na Chris ila shughuli zilisimama kwa muda alipoingia Rihanna studoni hapo kumfuata Chris Brown.

Rihanna kwa mtazamo wa Chris Brown nikama mwanamke wa kipekee katika dunia hii anayeweza kumfanya afurahie mapenzi,Breezy amekiri mara kwa mara kwamba anampenda kufa Ri na hata hivi katika mahojiano amefikia kusema anajisikia raha hata kuongea na Rihanna kuliko hata kushiriki naye mapenzi.
Katika habari nyingine,Chris Braow amemtaka Rihanna aungane naye katika ziara yake ya muziki inayoendelea,watumbuize pamoja show maalum.

0 comments:

Post a Comment