Tiwa Savage ambaye kwasasa anaipromote albamu yake ya “R.E.D”, japo hivi karibuni kulikuwa na hali ya sintofahamu kati yake na mume wake,ametajwa na mtandao wa UrbanView,kwamba msanii huyo ambaye yupo katika record label ya the Mavin Records ,yupo njiani kusainiwa na lebo ya Jay Z,ROC Nation.
Tarifa zaidi zinadai bosi huyo wa Roc Nation, rapaJay Z, iamevutiwa na profile ya mwanamuziki Tiwa na aina ya uimbaji wake.
catalogue and profile, and sanctioned the signing yesterday (May 24, 2016). It was put together by Roc Nation’s Briant Biggs and Shawn Pecas.
Tiwa Savage pia ametajwa kutumbuiza katika tamasha la Jay Z LA Made in America concert mwezi September ambalo limetajwa kuongozwa na muimbaji Rihanna . Roc Nation ina offices huko New York, London na Los Angeles pia ni nyumbani kwapopular artistes kama Rihanna, Big Sean, DJ Khaled,nk.
Tiwa Savage kwasasa yupo chini ya Mavin Records, na tayari ameshatoa albamu mbili zilizosheheni hit songs.
0 comments:
Post a Comment