Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Sunday, December 27, 2015

Safaree Samuels on Meek Mill: “I Don’t Even Know Who That Is”

safaree Samuels siku za karibuni alifanyiwa mahojiano na mtangazaji wa radio Power 105, Tim Westwood na moja kati ya maswali aliyokutana nayo ni kuhusu kama anamtambua mpenzi wa sasa wa aliyekuwa mpenzi wake,Nicki Minaj ambaye ni rappa Meek Mill ambaye ndugu mtangazaji alimtaja kuwa amemuharibia mwaka 2015 ndipo Safareealipocheka kwa kejeli na kujibu: "I don't even know who that is,"
Katika sehemu nyingine ya mahojiano hayo Safaree aliulizwa kama bado anafikiria ex wake, Nicki Minaj ambaye kwasasa yupo katika mahusiano kimapenzi na rappa Meek Milly,Safaree alijibu kwamba kwasasa anafanya mambo yake na hamfikirii yeyote asiyemuingizia.

0 comments:

Post a Comment