Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, July 25, 2016

Here’s how Beyoncé responded to the dude who claimed she stole ‘Lemonade’
Si jambo la kwaida kwa mastaa wakubwa kama Beyoncé kukutana na vikwazo na kashfa kama hizi za kuiba ideas za videos na kufunguliwa mashtaka mahakamani.

Beyonce alifunguliwa mashtaka na Filmmaker Matthew Fulks kwa madai ya kuibiwa idea ya short film yake uya 2014 aliyoipa jina Palinoia na kutengenezwa na Beyonce kwa jina la Lemonade .
Waswahili walinena kimya kingi kina mshindo,Baada ya kimya kingi Beyoncé amekuja na majibu ya tuhuma hizo kwa kusema madai hayo hayana mashiko kwani ilamu ya Palinoia inamuongelea “white man ambaye amechanganyikiwa kuisa mahusiano yake kuparanganyika huku Lemonade ikiwa inamuongelewa  African-American woman ambaye anapitia wakati mgumu,hasira chuki,kutengwa nk katika mahusiano yake.

0 comments:

Post a Comment