Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, July 30, 2016

 Tokeo la picha la koffi olomide
Mwanamuziki maarufu Koffi Olomide amekataliawa dhamana ya kuachiliwa huru kulingana na wakili wake.
Jaji alikataa ombi lake la la kuachiliwa wakati alipowasilishwa mahakamani.
Siku ya Jumatatu ,maafisa wa polisi walimkamata Olomide mwenye umri wa miaka 60 nyumbani kwake katika makaazi ya Kinshasa baada ya kupatikana katika kamera akimpiga teke mmoja wa wanenguaji wake katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta mjini nairobi.
Alirejeshwa nchini DRC kutoka Kenya kufuatia kisa hicho cha Ijumaa.
Hatua hiyo ilisababisha kufutiliwa mbali kwa tamasha lake nchini Kenya na Zambia.
Amekana mashtaka yanayomkabili.Source BBC.

0 comments:

Post a Comment