Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday
Posted by djnicotracktz
on 10/02/2012 03:45:00 AM
No comments
Gunplay amchimba biti 50 Cent
akiongea katika interview na TMZ, MMG rapper Gunplay amechimba mkwala makali dhidi ya 50 Cent and G-Unit kufuatia tifu lao ktk BET Hip Hop Awards 2012.
Gunplay amesema alitaka kumuharibia 50 mbele ya security team yake ya watu 5, lakini G-Unit general alijificha nyuma ya security,hata hivyo Gunplay alipata upenyo na kumwambia 50 ukizinguana na mimi, utashootiwa dk 0,gun asema hajui ilianzaje ila asema,nilikuwa alone na wao walikuwa mtu 5,na sikuwaogopa,sijui sababu moja kwa moja ila nachojua ni kwamba namchukia sana 50, nimepania siku ntyingi kumchapa,juzi kama bahati akayakanyaga lakini awashukuru security.
0 comments:
Post a Comment