Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, February 28, 2014


Mshindi wa tuzo za Grammy,Rihanna anaonyesha ana mvuto a aina yake hasa pale anapowagonganisha mastaa Chris Brown na Drake ambao kashawahi kutoka nao kwa nyakati tofauti.
Mtu wa karibu wa Rihanna anasema anachokifanya star huyo kinaweza kuleta utata tena kati ya mahasimu Chris Brown na Drake,mtu huyo amesema Chriss Brown na rihanna wanawasiliana tangu Brown alipomuandikia ujumbe Rihana wa kumtakia birthday njema na tangu hapo wamekuwa wakiwasiliana sana kwa kutumiana jumbe.Rihanna anawasiliana kwa karibu na Brown wakati  mapema wiki iliyopita alionekana akiwa karibu kimahaba na rappa DRake.

0 comments:

Post a Comment