Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, February 1, 2017

Patoranking on Jamaican station OnstageTV
Muimbaji mahiri wa aina ya muziki wa Dancehall Patoranking asema alianza safari ya muziki huyo kama mcheza shoo ali[pohojiwa na mtangazai wa televisheni huko Jamaica alipoikwenda kuitangaza albamu yake.
Akiongea na mtangazaji wa Onstage TV, Patoranking pia ameongelea nguvu ya muziki wa Afrobeat Africa na duniani kote.

Kama ilivyo kwa baadhi ya mastaa wa muziki wa bongo flava hapa bongo kama Shetta,Msamy wamewahi kukiri kuanza kama wacheza shoo kwa mastaa wengine,Patoranking amesema haikuwa rahisi kufika hapo alipo na kuwa king wa muziki aina ya dancehall Afrika,Pato amesema alikuwa anaupenda sana muziki wa ragga dancehall na akaona namna pekee ya kujisogeza kwa watakaomsadia na kutimiza ndoto zake ni kuchagua kazi itakayompatia njia,hivyo akaamua kuwa mcheza shoo...
Pato pia ameongelea anavojiona amefanikiwa na mashabiki wanavompokea na kumpa chachu ya kufanya vizuri zaidi mpaka kuzindua albamu lake ya "God Over Everything".
Alipoulizwa kwanini hakwenda ulaya na marekani kuanza mishe za muziki alijibu "It is Africa, charity begins at home, if it's not big at home, it won't be big abroad."

0 comments:

Post a Comment