Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, September 21, 2013

Mchezaji bora wa dunia kwa miaka ya 2004/ 2005 m brazil,Ronaldinho,amebadilisha muonekano wa meno yake kwa oparesheni iliyomgharimu kisi cha dolla 58,000 za kimarekani.
Rohaldinho amefanyiwa oparesheni hiyo mwezi uliopita katika clinic moja huko  Brazil lakini picha na video za oparesheni hiyo zimefika katika internet na vyombo vya habari mbalimbali siku 2 zilizopita.
Tazamz picha za m brazil,Ronaldinho kabla na bada ya oparesheni:

0 comments:

Post a Comment