Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, December 12, 2013

 
Gazeti la Us Weekly linaripoti Madonna mwenye umri wa miaka 55 ameachana na dogodogo wake Zaibat mwenye umri wa miaka25.
Madona na Zaibat walianza mahusiano mwaka 2010 ambapo tunararifiwa Madonna alimzimikia kijana huyo baada ya kutumbuiza katika uzinduzi wa bidhaa za Material Girl za binti wa Madonna.Taarifa zaidi zinadai Madonna alimpa dili la kuwa backup dancer wake katika ziara ya MDNA.
Mpata tunarusha habari hizi bado haijafahamika nini chanzo cha wawili hao kutengana.
Nahawa ni baadhi ya mastaa walioahana:

 Maria Shriver & Arnold Schwarzenegger





Christina Aguilera & Jordan Bratman


Kim Kardashian & Kris Humphries
 

Jennifer Lopez & Marc Anthony
 

Martin  Lawrence& Shamicka Lawrence
 

Katie Holmes & Tom Cruise
 

Justin Bieber and Selena Gomez
 

Britney Spears & Jason Trawick
 


Clint Eastwood and Dina  
Miley Cyrus & Liam Hemsworth

0 comments:

Post a Comment