Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, May 9, 2014

 Apple Reportedly Purchasing Dr. Dre's Beats Electronics For $3.2 Billion
Dr. Dre kuna uwezekano mkubwa kuwa first rapper BILLIONAIRE bada ya kutangazwa kuwa amepata dili la kuwauzia  Apple bidhaa zake za Beats Electronics.
Apple imeripotiwa kuinunua Beats kwa dola Billioni 3.2 inayomilikiwa na  Dre na boss wa Interscope ,Jimmy Iovine ambao walianzisha utengenezaji wa bidhaa hizo tangu mwaka 2008 ambapo walianza na headphones pekee lakini sasa wanatengeza hadi bank off speakers,mziki wa magari nk.
Dili hilo imeripotiwa kumalizwa wiki ijayo na litamfanya Dr Dre kuwa top katika orodha ya Forbes' most recent list of hip hop's wealthiest artists.
Dre alishika namba2 katikab Forbes' most recent list of hip hop's wealthiest artists akiwa na utajiri wa dola millioni 550 nyuma ya Diddy alishika namba moja akiwa na utajiri wa dolla millioni 700.

0 comments:

Post a Comment